Bondia Muingereza Dillian Whyte akiwa chini baada ya kukutana na ngumi ya kushoto 'upper-cut' ya Mrusi, Alexander Povetkin katika raundi ya tano ya pambano la uzito wa juu leo ukumbi wa Matchroom Fight Camp, Brentwood, England. Povetkin ameshinda kwa KO raundi ya tano na sasa milango ipo wazi kwake kukutana na Tyson Fury anayeshikilia taji la WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment