Kiungo mshambuliaji, Haroun Othman Chanongo akishangilia baada ya kuifungia Mtibwa Sugar bao la ushindi dakika ya 86 ikiilaza Dodoma Jiji FC 3-2 katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa CCM Gairo, Morogoro jioni ya leo. Mabao mengine ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Dickson Job dakika ya 42 na Boban Zilntusa dakika ya 67 kwa penalti, wakati ya Dodoma FC yalifungwa na Anuary Jabir dakika ya 15 na Dickson Ambundo dakika ya 25
Mike Tirico and Cris Collinsworth send emotional tribute to NBC colleague
who fell 50ft from scoreboard in Pittsburgh
-
Over a week after a 'Sunday Night Football' colleague suffered a terrifying
fall before a game in Pittsburgh, NBC Sports' Mike Tirico and Cris
Collinsworth...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment