Kiungo mshambuliaji, Haroun Othman Chanongo akishangilia baada ya kuifungia Mtibwa Sugar bao la ushindi dakika ya 86 ikiilaza Dodoma Jiji FC 3-2 katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa CCM Gairo, Morogoro jioni ya leo. Mabao mengine ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Dickson Job dakika ya 42 na Boban Zilntusa dakika ya 67 kwa penalti, wakati ya Dodoma FC yalifungwa na Anuary Jabir dakika ya 15 na Dickson Ambundo dakika ya 25
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment