Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Man United ikishinda 2-0 dhidi ya Southampton usiku huu Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ibrahimovic ndiye aliyeifungia bao la pili pia timu ya kocha Mreno, Jose Mourinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Newcastle United set for major scouting changes
-
Recruitment Reset at St James’ ParkNewcastle Utd are entering another phase
of strategic change behind the scenes, with Shola Ameobi stepping away from
his...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment