Henrikh Mkhitaryan akimsaidia fedha ombaomba na mtu asiye na makazi Jiji la Manchester jana baada ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Armeniaa kupata chakula katika mgahawa wa Kitaliano, San Carlo Jumatatu ya Pasaka. Mkhitaryan alikuwa benchi muda wote Jumapili Mashetani Wekundu wakiwafunga 2-0 Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What CBN’s forbearance shift means for banks
-
By Chinwendu Obienyi As the disruptive tides of the COVID-19 pestilence
recede and banks regain their footing, the Central Bank of Nigeria (CBN)
has rung...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment