Alexis Sanchez akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 42 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Riverside. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Mesut Ozil dakika ya 71, wakati la Boro lilifungwa na Alvaro Negredo dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool closely following Monaco’s Lamine Camara
-
As Liverpool prepare for a rebuild this summer, the Merseyside club are
paying particular attention to AS Monaco. As well as taking an interest in
France i...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment