Alexis Sanchez akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 42 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Riverside. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Mesut Ozil dakika ya 71, wakati la Boro lilifungwa na Alvaro Negredo dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BREAKING: Brazilian VP, Alckmin arrives Nigeria for historic strategic
dialogue
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja Brazilian Vice President Geraldo
Alckmin, accompanied by his wife Maria LĂșcia Alckmin, landed Tuesday at the
President...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment