Cristiano Ronaldo akifanya mazoezi na Real Madrid Uwanja wa Valdebebas leo kujiandaa na mchezo wa kesho wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich Uwanja wa Bernabeu. Real inahitaji hata sare kusonga mbele baada ya ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita mjini Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former NGE president, Mustapha Isah, loses mother at 80
-
Mrs. Medina Isah, the mother of the immediate past President of the
Nigerian Guild of Editors (NGE), Mustapha Isah, has passed away at the age
of 80. Thi...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment