Cristiano Ronaldo akifanya mazoezi na Real Madrid Uwanja wa Valdebebas leo kujiandaa na mchezo wa kesho wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich Uwanja wa Bernabeu. Real inahitaji hata sare kusonga mbele baada ya ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita mjini Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Senne Lammens urges Man United chiefs to launch summer spending spree with
Red Devils set to compete on multiple fronts after securing Champions
League qualification
-
CHRIS WHEELER: United were stretched in Saturday's goalless draw at
Sunderland where Casemiro , Benjamin Sesko and Manuel Ugarte missed the
game.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment