Nyota wa Argentina, Lionel Messi (kulia) na Luis Suarez wa Uruguay (kushoto) wakiwa wamevaa jezi namba 20 na namba 30 ambazo kwa pamoja zinasomeka 2030 kumaanisha mpango wa pamoja wa nchi hizo kuomba kuandaa Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2030. Picha hiyo imepigwa alfajiri ya leo Uwanja wa Centenario mjini Montevideo kabla ya mchezo kati ya wenyeji, Uruguay na Argentina kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi kwa kanda ya Amerika ya Kusini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gareth Bale 'makes shock move to buy League One club as he leads consortium
- with 'strong interest' in becoming latest ex-footballer to become owner
-
Bale, 35, was born in Cardiff and his father Chris Pike was a prolific
striker at the club between 1989 and 1993. It comes just weeks after Luka
Modric bou...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment