Philippe Coutinho akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Brazil bao la pili dakika ya 76 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ecuador kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi kwa kanda ya Amerika Kusini uliofanyika jana Uwanja wa Arena do Gremio mjini Porto Alegre, Rio Grande do Sul. Bao la kwanza la Brazil lilifungwa na Paulinho dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
You betrayed Aburi Accord: Umeh replies Gowon, demands apology to Ndigbo
over Biafran war
-
The senator representing Anambra Central, Victor Umeh, has publicly called
on former Head of State, General Yakubu Gowon, to tender an unreserved
apology...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment