Islam Slimani (kushoto) akifumua shuti kuifungia Leicester City bao la pili dakika ya 78 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup jana Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester limefungwa na Shinji Okazaki dakika ya 65 na Liverpool inatolewa mapema tu katika mashindano hayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kogi govt vows to make farmers in the state richer
-
The Sun The Kogi State government has reiterated its commitment to
transforming the state’s agricultural sector and improving the livelihoods
of farmers ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment