Islam Slimani (kushoto) akifumua shuti kuifungia Leicester City bao la pili dakika ya 78 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup jana Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester limefungwa na Shinji Okazaki dakika ya 65 na Liverpool inatolewa mapema tu katika mashindano hayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pep Guardiola issues hilarious 'come on you Irons' rallying cry to West Ham
as Man City pile pressure on title rivals Arsenal by moving to within two
points
-
Pep Guardiola insisted that Manchester City will breathe down Arsenal's
neck until the very last kick of the Premier League title race after
beating Brentf...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment