Islam Slimani (kushoto) akifumua shuti kuifungia Leicester City bao la pili dakika ya 78 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup jana Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester limefungwa na Shinji Okazaki dakika ya 65 na Liverpool inatolewa mapema tu katika mashindano hayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Maccabi Tel Aviv say Tommy Robinson's intervention in Aston Villa
anti-Semitism ticket row was 'final straw' for club
-
Aston Villa and West Midlands Police faced huge backlash last week after
authorities advised the Premier League club to ban Maccabi Tel Aviv fans
from atte...
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment