Mshambuliaji wa Monaco, Thomas Lemar anayetakiwa na Arsenal akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya taifa, Ufaransa mabao mawili dakika za 73 na 88 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Uholanzi usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 14 na Kylian Mbappe dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defamation: Natasha granted N50m bail after no-guilty plea
-
Suspended Senator Natasha Akpoti-Uduaghan was granted a N50 million bail on
Thursday after pleading not guilty to alleged defamation. The senator
represe...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment