Mshambuliaji wa Monaco, Thomas Lemar anayetakiwa na Arsenal akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya taifa, Ufaransa mabao mawili dakika za 73 na 88 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Uholanzi usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 14 na Kylian Mbappe dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sports icon blasts Gavin Newsom as biological male prepares to compete in
girls track and field event in California
-
The 18-time Grand Slam champion's fury comes as a biological male athlete,
representing Jurupa Valley High School, prepares to compete in the girls'
track ...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment