Nahodha wa Simba SC, Suleiman Matola (katikati) akiwatambulisha wachezaji wenzake, Nteze John na Joseph Kaniki (kushoto) kwa mgeni rasmi, Mbunge wa Mvomero, Suleiman Sadiq kabla ya mchezo wa hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nkana FC ya Zambia Uwanja wa Jamhuri Morogoro mwaka 2002. Simba ilishinda 3-0, lakini ikatolewa kwa jumla ya mabao 4-3 baada ya kufungwa 4-0 kwenye mchezo wa kwanza Zambia.
Ian Evatt delighted to see Blackpool defeat ‘really good team’ Cardiff
-
The Seasiders downed their visitors thanks to Ashley Fletcher’s brace and
Tom Bloxham scoring their third.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment