Mshambuliaji Romelu Lukaku akirukiwa na mchezaji mwenzake, Antonio Valencia baada ya kuifungia Manchester United bao la nne dakika ya 70 ikiwalaza 4-1 Newcastle United leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Anthony Martial dakika ya 37, Chris Smalling dakika ya 45 na Paul Pogba dakika ya 54, wakati bao pekee la Newcastle limefungwa na Dwight Gayle dakika ya 14 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star Trent Merrin hits back after police raided his home and arrested
him for allegedly stealing $140,000 from his own teammate
-
Premiership-winning former Penrith and St George Illawarra star Trent
Merrin has been charged and is due to appear in court on December 3.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment