Mshambuliaji wa Brazil, Neymar (katikati) akikimbia na wachezaji wenzake, Casemiro na Douglas Costa kushangilia baada ya kufunga bao la pili dakika ya saba ya muda wa nyongeza baada ya kukamilika dakika 90 za kawaida za mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia leo Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi, baada ya Philippe Coutinho kufunga la kwanza dakika ya 90 na ushei pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mark Sanchez's NFL broadcast career looks OVER after arrest for truck
driver brawl as Fox lines up Super Bowl winner to replace him
-
Sanchez, 38, was arrested in hospital on suspicion of felony battery.
Police said Sanchez was stabbed multiple times after allegedly attacking a
truck driv...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment