Mshambuliaji wa Brazil, Neymar (katikati) akikimbia na wachezaji wenzake, Casemiro na Douglas Costa kushangilia baada ya kufunga bao la pili dakika ya saba ya muda wa nyongeza baada ya kukamilika dakika 90 za kawaida za mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia leo Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi, baada ya Philippe Coutinho kufunga la kwanza dakika ya 90 na ushei pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chicago Bears star's dad demands his son be traded before NFL deadline
-
With a few hours remaining until the NFL trade deadline, players are on
edge to see if they may be moved. One star wide receiver's father is hoping
that ha...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment