Kikosi cha Pamba FC ya Mwanza mwaka 1989 chini ya kocha Muhsin Maftah (sasa marehemu, kulia waliosimama) kabla ya moja ya mechi zake Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza. Wengine waliosimama baada ya kocha Maftah ni George Masatu, Madata Lubigisa, Andrew Godwin, Kitwana Suleiman, Hussein Marsha, David Mwakalebela na James Washokera. Waliochuchumaa kutoka kulia ni Hamisi Kimbingile, Juma Amir Maftah, George Gole, Ally Bushiri, Yussuf Suleiman, Hamza Mponda, Paul Rwechungura na Nico Bambaga.
Oilers star Evander Kane slammed for 'dirty and classless' move after
losing to Panthers in Stanley Cup Finals
-
Nobody is quite sure when hockey's handshake line was born. The practice is
believed to be over a century old, but whenever it started, Edmonton Oilers
sta...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment