Nahodha wa Peru, Paolo Guerrero aliyepambana na adhabu ya kufungiwa kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu kwa miezi saba ili kupata nafasi ya kucheza Kombe la Dunia nchini Urusi akishangilia baada ya kuifingia timu yake bao la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Australia leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi baada ya Andre Carrillo kufunga la kwanza dakika ya 18. Pamoja na ushindi huo wa kwanza baada ya miaka 40, Peru imetolewa sambamba na Australia zikiziacha Ufaransa na Denmark zikisonga mbele hatua ya 16 Bora kutoka Kundi C PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ADC says House member Leke Abejide not suspended
-
From Emmanuel Adeyemi, Lokoja The African Democratic Congress, Kogi State
chapter, has said that the Member of the House of Representatives for Yagba
Fed...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment