Wachezaji wa Senegal wakishangilia bao la kwanza lililofungwa na Thiago Cionek aliyejifunga dakika ya 37 baada ya kubabatizwa na shuti la Idrissa Gana Gueye katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia leo Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi. Bao la pili la Senegal limefungwa na Mbaye Niang dakika ya 60, kabla ya Grzegorz Krychowiak kuifungia bao la kufutia machozi Poland dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment