Mshambuliaji Edinson Cavani akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Uruguay dakika za saba (7) na 62 ikiilaza Ureno 2-1 Ureno katika hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi, Urusi na sasa itakutana na Ufaransa katika Robo Fainali. Bao la Ureno lilifungwa na Pepe dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment