Mohamed Salah akiifungia Misri bao la kwanza dakika ya 22 wakifungwa mabao 2-1 na Saudi Arabia katika mchezo wa Kundi A Kombe la Dunia Uwanja wa Volgograd Arena nchini Urusi na kutolewa kwenye michuano hiyo waliyokuwa wakishiriki kwa mara ya kwanza tangu 1990. Hiyo ni baada ya kufungwa 1-0 na Uruguay Juni 15 na 3-1 na Urusi Juni 19 katika mechi zake mbili za kwanza. Mabao ya Saudi Arabia iliyopata ushindi wa kwanza Kombe la Dunia tangu mwaka 1994 yamefungwa na Salman Al Faraj kwa penalti dakika ya 45 na ushei na Salem Al Dawsari dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
A cultural revolution? Trump’s America feels oddly familiar to those
watching from China
-
Demands of absolute loyalty and attacks on institutions have raise memories
of Mao-style chaos from US watchers in China
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment