Keisuke Honda akishangilia baada ya kuifungia Japan bao la kusawazisha dakika ya 78 katika sare ya 2-2 na Senegal kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia Jumapili Uwanja wa Ekaterinburg Arena nchini Urusi. Mabao ya Senegal yalifungwa na na Sadio Mane dakika ya 11 na Moussa Wague dakika ya 71, wakati bao lingine la Japan limefungwa na Takashi Inui dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
How top Aussie jockey can make Melbourne Cup history TWICE as she opens up 
about trying to beat her husband at Flemington
                      -
                    
Caulfield Cup winner Jamie Melham has already made history, even if she 
cannot ride Half Yours to victory in the Melbourne Cup.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment