Keisuke Honda akishangilia baada ya kuifungia Japan bao la kusawazisha dakika ya 78 katika sare ya 2-2 na Senegal kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia Jumapili Uwanja wa Ekaterinburg Arena nchini Urusi. Mabao ya Senegal yalifungwa na na Sadio Mane dakika ya 11 na Moussa Wague dakika ya 71, wakati bao lingine la Japan limefungwa na Takashi Inui dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL star Deebo Samuel left fuming after interviewer spills secret live on
air in painful exchange
-
NFL Network's Garafolo was left red-faced at the end of an interview with
Samuel on 'Inside Training Camp Live' earlier this week. 'Alright, edit
that part...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment