Keisuke Honda akishangilia baada ya kuifungia Japan bao la kusawazisha dakika ya 78 katika sare ya 2-2 na Senegal kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia Jumapili Uwanja wa Ekaterinburg Arena nchini Urusi. Mabao ya Senegal yalifungwa na na Sadio Mane dakika ya 11 na Moussa Wague dakika ya 71, wakati bao lingine la Japan limefungwa na Takashi Inui dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
US tennis legend Chris Evert slams WNBA players over wild Caitlin Clark
attacks as she calls out 'bad look'
-
Caitlin Clark was jabbed in the eye by Connecticut's Jacy Sheldon, who had
previously been caught in a heated exchange with the Fever star, before
being pu...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment