Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akiwa haamini macho yake baada ya mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia wakitolewa na Uruguay kwa kufungwa Ureno 2-1 Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi leo. Ronaldo wa klabu ya Real Madrid, anaungana na hasimu wa La Liga, Lionel Messi wa Barcelona ambaye timu yake, Argentina imetolewa na Ufaransa leo pia katika mchezo uliotangulia PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
How top Aussie jockey can make Melbourne Cup history TWICE as she opens up 
about trying to beat her husband at Flemington
                      -
                    
Caulfield Cup winner Jamie Melham has already made history, even if she 
cannot ride Half Yours to victory in the Melbourne Cup.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment