KANE APIGA ZOTE MBILI ENGLAND YAICHINJA TUNISIA 2-1 KUNDI G
Harry Kane akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao mawili England dakika za 11 na 90 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tunisia kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia Jumatatu Uwanja wa Volgograd nchini Urusi. Bao la Tunisia limefungwa na Ferjan Sassi kwa penalti dakika ya 35PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment