Mshambuliaji Radamel Falcao wa Colombia akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 70 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Poland Jumapili kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia mjini Kazan, Urusi. Mabao mengine ya Colombia yamefungwa na Yerry Mina dakika ya 40 na Juan Cuadrado dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL star Deebo Samuel left fuming after interviewer spills secret live on
air in painful exchange
-
NFL Network's Garafolo was left red-faced at the end of an interview with
Samuel on 'Inside Training Camp Live' earlier this week. 'Alright, edit
that part...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment