Kiungo Steven Zuber akishangilia kwenye kibendera cha kona baada ya kuifungia bao la kusawazisha Uswisi dakika ya 50 katika sare ya 1-1 na Brazil leo kwenye mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi, kufuatia Philippe Coutinho kuanza kuwafungia wenyeji wa fainali zilizopita mwaka 2014 dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ADC says House member Leke Abejide not suspended
-
From Emmanuel Adeyemi, Lokoja The African Democratic Congress, Kogi State
chapter, has said that the Member of the House of Representatives for Yagba
Fed...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment