Javier Hernandez akishangilia baada ya kuifungia Mexico bao la ushindi dakika ya 66 ikiilaza Korea Kusini 2-1 katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia leo Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi. Hiyo ni baada ya Carlos Vela kuanza kuifungia Mexico dakika ya 26 na kabla ya Son Heung-Min kuifungia Korea Kusini bao la kufutia machozi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment