Javier Hernandez akishangilia baada ya kuifungia Mexico bao la ushindi dakika ya 66 ikiilaza Korea Kusini 2-1 katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia leo Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi. Hiyo ni baada ya Carlos Vela kuanza kuifungia Mexico dakika ya 26 na kabla ya Son Heung-Min kuifungia Korea Kusini bao la kufutia machozi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Tottenham: Live score, team news and updates as Son Heung-min
waves goodbye after a decade in north London in a pre-season friendly
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Newcastle take on Tottenham at the Seoul World Cup Stadium in a
pre-season fr...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment