Nyota wa Brazil, Neymar akimtoka kiufundi mchezaji wa Serbia katika mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Jumatano Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moskow. Brazil ilishinda 2-0, mabao ya Paulinho dakika ya 36 na Thiago Silva dakika ya 68, hivyo kufuzu hatua ya 16 Bora na itakutana na Mexico Julai 2, wakati Serbia imetolewa. Uswisi iliyotoa sare ya 2-2 na Costa Rica nayo imefuzu pia 16 Bora na itamenyana na Sweden Julai 3 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy breaks his silence on LIV Golf's bold new plan for 2026 as he
reveals why he isn't convinced by the move
-
Rory McIlroy says he isn't convinced by LIV Golf's surprising decision to
move to a more traditional 72-hole format at its tournaments in 2026.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment