Nyota wa Brazil, Neymar akimtoka kiufundi mchezaji wa Serbia katika mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Jumatano Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moskow. Brazil ilishinda 2-0, mabao ya Paulinho dakika ya 36 na Thiago Silva dakika ya 68, hivyo kufuzu hatua ya 16 Bora na itakutana na Mexico Julai 2, wakati Serbia imetolewa. Uswisi iliyotoa sare ya 2-2 na Costa Rica nayo imefuzu pia 16 Bora na itamenyana na Sweden Julai 3 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
How top Aussie jockey can make Melbourne Cup history TWICE as she opens up 
about trying to beat her husband at Flemington
                      -
                    
Caulfield Cup winner Jamie Melham has already made history, even if she 
cannot ride Half Yours to victory in the Melbourne Cup.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment