Wachezaji wa Bayern Munich, Niklas Suele, Javi Martinez na Joshua Kimmich wakiondoka kinyonge Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Ajax katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana. Mats Hummels alianza kuwafungia wenyeji dakika ya nne kabla ya Noussair Mazraoui kuwasawazishia dakika ya 22 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Carrick caught a worrying glimpse of the future during Man United's
stalemate at Sunderland, writes CHRIS WHEELER - while the exit door looms
for one £36.5m signing
-
CHRIS WHEELER: Of more concern to Carrick will be how much United missed
the midfielder at the Stadium of Light. They missed his experience and
poise in mi...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment