David Silva akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 87 ikiilaza 2-1 Hoffenheim katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Wirsol Rhein-Neckar-Arena mjini Sinsheim, Ujerumani. Ishak Belfodil alianza kuifungia Hoffenheim sekunde ya 45 kabla ya Sergio Aguero kuisawazishia Man City dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🎥 Portland Timbers score two must-see goals vs Sporting KC
-
It has been a near-perfect first-half for the Portland Timbers as they
scored four unanswered goals, including a pair of absolute beauties vs
Sporting KC. ...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment