Kipa wa Valencia, Neto akichupia mpira kudaka mbele ya mshambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku wakati wa mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya uliomalizika kwa sare ya 0-0 usiku wa Jumanne Uwanja wa Old Trafford. Huo ni mchezo wa nne mfululizo Man United inacheza bila kushinda, baada za sare ya 1-1 na Wolverhampton, 2-2 Derby County kisha kutolewa kwa penalti kwenye Kombe la Ligi na kufungwa 3-1 na West Ham United, jambo ambalo linaweza kumuweka pabaya kocha Mreno, Jose Mourinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UFC 328 results: Sean Brady dominates Joaquin Buckley to win despite surge
of irregular betting movement
-
Sean Brady found himself under a microscope Saturday ahead of his UFC 328
bout against Joaquin Buckley. As it turns out, it was much ado about
nothing.
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment