Mshambuliaji kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Kwa ushindi huo, United inaendeleza rekodi nzuri chini ya kocha mpya wa muda, Ole Gunnar Solkjaer ikifikisha pointi 48 baada ya kucheza mechi na kupanda hadi nafasi ya tano ikiiteremsha Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ashes coverage on TNT Sports branded 'a travesty' and 'poor product' by
cricket fans in clunky start to series - with commentators not even in
Australia!
-
England's inauspicious start to the Ashes was matched by TNT Sports, with
the broadcaster's coverage branded 'a poor product' and 'travesty'.
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment