Mshambuliaji kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Kwa ushindi huo, United inaendeleza rekodi nzuri chini ya kocha mpya wa muda, Ole Gunnar Solkjaer ikifikisha pointi 48 baada ya kucheza mechi na kupanda hadi nafasi ya tano ikiiteremsha Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UFC 328 results: Sean Brady dominates Joaquin Buckley to win despite surge
of irregular betting movement
-
Sean Brady found himself under a microscope Saturday ahead of his UFC 328
bout against Joaquin Buckley. As it turns out, it was much ado about
nothing.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment