Mshambuliaji kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Kwa ushindi huo, United inaendeleza rekodi nzuri chini ya kocha mpya wa muda, Ole Gunnar Solkjaer ikifikisha pointi 48 baada ya kucheza mechi na kupanda hadi nafasi ya tano ikiiteremsha Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Zelenskyy to visit Berlin for meetings ahead of Trump-Putin summit
-
BERLIN (AP) — Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy will visit Berlin on
Wednesday to join German Chancellor Friedrich Merz for talks with European
and U...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment