Mshambuliaji kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Kwa ushindi huo, United inaendeleza rekodi nzuri chini ya kocha mpya wa muda, Ole Gunnar Solkjaer ikifikisha pointi 48 baada ya kucheza mechi na kupanda hadi nafasi ya tano ikiiteremsha Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brisbane Lions skipper's fitting Bailey Smith sledge following on-field
confrontation
-
Lions star Harris Andrews delivered a blunt sledge about his confrontation
with Bailey Smith during Brisbane's Grand Final victory at the MCG.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment