Georginio Wijnaldum akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili Uholanzi dakika ya 32 na 41 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Belarus usiku wa jana Uwanja wa Dynama mjini Minsk bao la wenyeji likifungwa na Stanislau Dragun dakika ya 53 katika mchezo huo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Getting West Ham fans back onside is 'main priority' - Nuno
-
New West Ham boss Nuno Espirito Santo said becoming closer to the
supporters is the "main priority" for his side.
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment