Mshambuliaji wa Brazil Neymar akimtoka Victor Osimhen wa Nigeria katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Taifa wa Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Joe Aribo akianza kuifungia Nigeria dakika ya 35, kabla ya Casemiro kuisawazishia Brazil dakika ya 48 huku Neymar akitolewa dakika ya 12 tu baada ya kuumia, nafasi yake ikichukuliwa na Philippe Coutinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Rivers Day 2025: Water Minister calls for collective action to
protect Nigeria’s rivers
-
From Charity Nwakaudu, Abuja Minister of Water Resources and Sanitation,
Prof. Terlumun Utsev, has issued a strong call for nationwide action to
safeguar...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment