Mshambuliaji wa Brazil Neymar akimtoka Victor Osimhen wa Nigeria katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Taifa wa Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Joe Aribo akianza kuifungia Nigeria dakika ya 35, kabla ya Casemiro kuisawazishia Brazil dakika ya 48 huku Neymar akitolewa dakika ya 12 tu baada ya kuumia, nafasi yake ikichukuliwa na Philippe Coutinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Excellent prospect' Ngumoha stars for Liverpool - but who is he?
-
Liverpool's second youngest ever player Rio Ngumoha shines again in
pre-season to get fans wondering if he could be part of the first team this
year.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment