Mshambuliaji wa Brazil Neymar akimtoka Victor Osimhen wa Nigeria katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Taifa wa Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Joe Aribo akianza kuifungia Nigeria dakika ya 35, kabla ya Casemiro kuisawazishia Brazil dakika ya 48 huku Neymar akitolewa dakika ya 12 tu baada ya kuumia, nafasi yake ikichukuliwa na Philippe Coutinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How a Tory MP 37 years ago has inspired a Labour MP’s ‘stalking horse’
leadership challenge to Starmer
-
NEWS ANALYSIS: Political editor David Maddox looks at how Sir Anthony
Meyer’s challenge to Margaret Thatcher in 1989 is now being played out in
2026 by Cat...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment