Dominic Calvert-Lewin akishangilia baada ya kuifungia Everton mabao mawili dakika ya 49 na 84 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Goodison Park. Bao lingine la Everton limefungwa na Richarlison dakika ya tano, wakati la Chelsea limefungwa na Mateo Kovacic dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal coach identifies key reason for u18s defeat to Reading
-
The young Gunners improved after half-time and pulled one back through
Louis Zecevic John, but Reading held on for a 2-1 win.Photo by Lewis
Storey/Getty Im...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment