Jadon Sancho akishangilia baada ya kuifungia Borussia Dortmund mabao mawili dakika ya 63 na 74 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Fortuna Dusseldorf kwenye mchezo wa Bundesliga jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Mabao mengine yalifungwa na Marco Reus mawili pia dakika za 42 na 70 na Thorgan Hazard dakka ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The former Barcelona star who PREACHES in football stadiums after claiming
'Christ has set me free' following overturned rape conviction
-
Alves, 43, spent just over one year in prison after being convicted of
raping a woman in a Barcelona nightclub in 2022. His conviction was
overturned in Ma...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment