Wachezaji wa Arsenal wakimzonga refa Paul Tierney wakati anamuonyesha kadi nyekundu Nahodha wao, Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 67 kwa kumchezea rafu Max Meyer katika sare ya 1-1 na Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park Jijini London. Aubameyang alitoka akiwa ameifungia Arsenal bao la kuongoza dakika ya 12 akimalizia pasi ya Alexandre Lacazette, kabla ya Jordan Ayew kuisawazishia Crystal Palace akimtungua Bernd Leno kwa shuti lililombabatiza David Luiz PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Formula One's Las Vegas Grand Prix halted by loose MANHOLE COVER - which
isn't even shown in TV cover-up
-
Formula One's flagship race in Las Vegas got off to a typically shaky start
when a manhole cover worked loose during the second practice session headed
by ...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment