Wachezaji wa Arsenal wakimzonga refa Paul Tierney wakati anamuonyesha kadi nyekundu Nahodha wao, Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 67 kwa kumchezea rafu Max Meyer katika sare ya 1-1 na Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park Jijini London. Aubameyang alitoka akiwa ameifungia Arsenal bao la kuongoza dakika ya 12 akimalizia pasi ya Alexandre Lacazette, kabla ya Jordan Ayew kuisawazishia Crystal Palace akimtungua Bernd Leno kwa shuti lililombabatiza David Luiz PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The potential cost the Lionesses will have to pay out of their
own pocket for loved ones to watch them in the group stages of Euro 2025
-
A study has shown how much each member of England's Euro 2025 squad may
have to pay individually to have loved ones fly out and stay to watch them
in Switz...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment