Washambuliaji Marcus Rashford na Anthony Martial wakipongezana baada ya wote kuifungia Manchester United katika ushndi wa 4-0 dhid ya Norwich City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Rashford ambaye amecheza mechi ya 200 leo Man United amefunga bao la kwanza dakika ya 27 na la pili kwa penalti dakika ya 52 na Martial la tatu dakika ya 54, wakati la nne limefungwa na Mason Greenwoodon dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Neymar SUES Brazilian journalist who accused him of being 'addicted to
whiskey, energy drinks and late-night gaming sessions'... as injury-plagued
star responds to wild claims with cryptic social media post
-
Neymar is taking legal action after being accused of an 'addiction to
whisky and energy drinks' along with unprofessional 'late-night gaming
sessions'.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment