Mshambuliaji Mbrazil, Roberto Firmino akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao pekee dakika ya 37 akimalizia pasi ya Mmisri, Mohamed Salah katika ushindi wa ugenini wa 1-0 Liverpool dhidi ya wenyeji, Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Formula One's Las Vegas Grand Prix halted by loose MANHOLE COVER - which
isn't even shown in TV cover-up
-
Formula One's flagship race in Las Vegas got off to a typically shaky start
when a manhole cover worked loose during the second practice session headed
by ...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment