Callum Hudson-Odoi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dakika ya 49 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Jorginho dakika ya 27 kwa penalti na Tammy Abraham dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peter Crouch hits out at Man United's recruitment strategy and claims the
club has 'three No 2 goalkeepers' after summer signing Senne Lammens is
benched AGAIN at Brentford
-
Peter Crouch has hit out Manchester United 's recruitment strategy and
claimed the club now have 'three No 2 goalkeepers' after benching Senne
Lammens agai...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment