Callum Hudson-Odoi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dakika ya 49 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Jorginho dakika ya 27 kwa penalti na Tammy Abraham dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers fine for Brown comment 'in keeping with rules' - SFA
-
The SFA says fining Rangers £3,000 following a comment by John Brown "was
entirely in keeping with the application of the rules".
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment