Mshambuliaji wa timu ya vijana ya wanawake chini ya umri wa miaka 17, Asha Masaka (kushoto) akishangilia na mwenzake, Joyce Meshack (kulia) baada ya kufunga mabao matatu dakika za 13, 17 na 61 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Burund leo Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam kwenye mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Dunia 2020 nchini India. Joyce pia alifunga dakika ya 38 na bao lingine la Tanzania limefungwa na Protasia Mbunda dakika ya 45, wakati bao pekee la Burundi limefungwa na Lydia Karenzo dakika ya 75
Revealed: Florian Wirtz's first words to Liverpool fans - as £116m record
signing declares bold ambitions and reveals why the Reds were the club for
him
-
The German golden boy says he is already feeling the love from Reds fans
following his £100million move - which could rise to a British transfer
record of ...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment