Kiungo wa Real Madrid, Isco akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la pili dakika ya 39 katika mchezo wa Nusu Fainali ya Super Cup ya Hispania katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Valencia usiku wa jana Uwanja wa King Abdullah Sports City Jijini Jeddah, Saudia Arabia. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Toni Kroos dakika ya 15 na Luka Modric dakika ya 65, wakati la Valencia lilifungwa na Dani Parejo kwa penalti dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy and wife Erica put on a united front after Ryder Cup fans
throw toxic taunts at star over personal life
-
McIlroy was tormented about Erica, his ex-fiancee tennis star Caroline
Wozniacki and other aspects of his personal life by fans as he conquered
the Bethpag...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment