Clement Lenglet (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 72 ikiilaza 3-2 Real Betis kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Estadio Benito VillamarÃn. Mabao mengne ya Barcelona yalifungwa na Frenkie de Jong dakika ya tisa na Sergio Busquets dakika ya 45 na ushei na wakati ya Real Betis yalifungwa na Sergio Canales kwa penalti dakika yasita na Nabil Fekir dakika ya 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thomas Frank AXES Spurs star from Super Cup squad ahead of PSG clash as
Tottenham boss lays down the law
-
Frank has not taken long to tire of the player's behaviour, which drew
comment form his predecessors at Spurs.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment