Chipukizi wa Liverpool, Neco Williams na Adam Lewis wakishangilia baada ya timu yao kupata bao pekee dakika ya 75, Ro-Shaun Williams akijifunga katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Shrewsbury Town jana Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa marudio Raundi ya Nne Kombe la FA, England kufuatia mchezo wa kwanza kumalizika kwa sare ya 2-2 Januari 26 Uwanja wa Montgomery Waters Meadow PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Devastated family of late Dallas Cowboys man Marshawn Kneeland blame cops
for his death: 'I truly think they killed him'
-
Jasmine Kneeland revealed her beloved first cousin had Marshawn Kneeland
had been due at a planned family reunion this week in Michigan, before he
shot him...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment