Nahodha wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 33 na 67 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Norwich City, mabao mengine yakifungwa na Granit Xhaka dakika ya 37 na Cedric Soares dakika ya 81 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Emirates. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 46 baada ya kucheza mechi 32 na kupanda kutoka nafasi ya 11 hadi ya saba sasa ikizidiwa pointi sita na Wolverhampton Wanderers PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Killings can’t end if government doesn’t go after terrorism sponsors –
Hayab, CAN chairman, Kaduna
-
•It’s disservice to Nigeria to be talking about 2027 election now The
Chairman of Christians Association of Nigeria (CAN), Kaduna State, Rev.
Joseph Haya...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment