ERASTO NYON ATIMIZA AHADI YA KUMPATIA BAISKELI SHABIKI WAKE KIJANA MDOGO MJINI SUMBAWANGA
BEKI wa klabu ya Simba SC ya Dar es Salaam, Erasto Edward Nyoni baada ya kumkabidhi baiskeli shabiki wake kijana mdogo, Jumanne Ulimwengu mjini Sumbawanga mkoani Rukwa jana.
Erasto Nyoni alitoa ahadi hiyo jana wakati akimkabidhi zawadi ya jezikijana huyo ambaye ili awe anaitumia kwenda shule.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment