Beki wa kushoto, Layvin Kurzawa akishangilia baada ya kuifungia PSG mabao matatu peke yake dakika za 52, 72 na 78 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Anderlecht usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Marco Verratti dakika ya 30 na Neymar Junior dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Under-fire Mike Vrabel returns to Patriots practice field amid ongoing
fallout of Dianna Russini affair scandal
-
Pictures emerged this week of Vrabel and a pregnant Russini getting a boat
together in Tennessee in June 2021 in the latest instalment of the saga,
which b...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment