Beki wa kushoto, Layvin Kurzawa akishangilia baada ya kuifungia PSG mabao matatu peke yake dakika za 52, 72 na 78 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Anderlecht usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Marco Verratti dakika ya 30 na Neymar Junior dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stephen A. Smith's daughter makes rare TV appearance for awkward ESPN
interview before NBA Finals
-
The analyst was performing his ESPN duties alongside Elle Duncan on the
floor of Gainbridge Fieldhouse when Game 6 of the NBA Finals turned into
'Bring you...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment