Mshambuliaji wa Paris St Germain, Edinson Cavani akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 38 na 79 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Nantes jana kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Parc des Princess mjini Paris. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Angel Di Maria dakika ya 42 na Javier Pastore dakika ya 65, wakati la Nantes lilifungwa na Prejuce Niguimbe Nakoulma dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fired college football coach's daughter forced to delete 'tone deaf' video
amid firing: 'Not crying over millionaires'
-
The daughter of a former posted a 'tone deaf' video to social media after
his firing - and the backlash she received led her to delete the clip
altogether.
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment