Mshambuliaji Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili dakika za 23 na 62 jana katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, West Bromwich Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Hawthorns, West Bromwich. Mabao mengine ya The Blues yalifungwa na Alvaro Morata dakika ya 17 na Marcos Alonso dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Glamorous WWE star breaks silence after humiliating wardrobe malfunction
forced broadcast to cut out
-
A WWE star has broken her silence on a series of wardrobe malfunctions that
forced the Friday Night Smackdown broadcast to cut out several times.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment