Gonzalo Higuain akiifungia Juventus bao la kusawazisha dakika ya 79 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Sporting Lisbon kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon, Ureno. Sporting Lisbon walitangulia kwa bao la Bruno Cesar dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sheff Wed players to fulfil Leicester opener
-
Sheffield Wednesday's players will fulfil their opening game of the
Championship season against Leicester City on Sunday, BBC Sport understands.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment