Kikosi cha Arsenal kilichoanza jana katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Ostersunds kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora michuano ya Europa League Uwanja wa Jamtkraft Arena mjini Ostersund. Mabao ya Arsenal itakayokuwa na kazi nyepesi kwenye mchezo wa marudiano nyumbani yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya 13, Sotirios Papagiannopoulos aliyejifunga dakika ya 24 na Mesut Ozil dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis star Stefanos Tsitsipas's mum blames his power-couple ex-girlfriend
for 'being a burden on him' and dragging his career down from being world
No 3
-
Greek tennis star Stefanos Tsitsipas has had the downturn in his career
analysed in depth - by his own mother.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment