Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga bao la nne dakika ya 37 na la kwanza kwake baada ya kujiunga na Arsenal wiki hii akitokea Borussia Dortmund kwa Pauni Milioni 56 za rekodi katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Everton Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Aaron Ramsey matatu dakika za sita,19 na 74 na Laurent Koscielny dakika ya 37, wakati la Everton limefungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal coach identifies key reason for u18s defeat to Reading
-
The young Gunners improved after half-time and pulled one back through
Louis Zecevic John, but Reading held on for a 2-1 win.Photo by Lewis
Storey/Getty Im...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment