Washambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku (kushoto) na Alexis Sanchez (kulia) wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Lukaku alifunga bao la kwanza dakika ya 55 akimalizia pasi ya Juan Mata wakati Sanchez alifunga la pili dakika ya 68 akiuwahi mpira uliookolewa na kipa Jonas Lossl baada ya shuti lake la penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reform accused of failing to condemn ‘clear racism’ after councillor’s
‘Nigerians should fill pot holes’ remark
-
Glenn Gibbins was elected as a Reform councillor in Sunderland earlier this
week despite previous comments he made about Nigerian people
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment